Advertisements

Monday, December 5, 2016

TANZIA

AAleykum. 
Inna Lillah wainna ilaihi rajiuun...
Kwa niaba ya familia ya aliyekuwa mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Na pia aliyekuwa  Mbunge wa Jimbo la Rufiji katika Bunge la Tisa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Daktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo Na pia mhadhiri katika Vyuo Vikuu Vya udaktari katika nchi mbalimbali duniani Prof.  Idris Ali Mtulia amefariki dunia Leo Jumatatu Desemba 5, 2016. 
Taratibu za msiba huo zinafanyikia nyumbani kwake Upanga, Mazengo Street jijini Dar es Salaam. 
Kwa wale ndugu Na marafiki wanaoishi hapa Marekani wanaweza kuwapa mkono wa pole Na kutoa rambirambi zao kwa watoto wa marehemu, Yusuf and Abdullah Mtulia. 
Msiba upo katika anuani ifuatayo

22637 settlers trail terrace Ashburn VA 20148
Kwa kutoa rambi rambi tafadhali tuma katika bank hii

Jina: Abdullah Mtulia
Bank: Wells Fargo
Acc#: 053000219

Tutawajulisha siku Na muda wa kufanya kisomo cha kumrehemu baba yetu Hapa DMV, Marekani

Kwa maelezo zaidi wasiliana Na 

Iddi Sandaly (301) 613-5165
Asha Nyang'anyi (301) 793-2833
Jasmine Rubama (410) 371-9966
Joha Nyang'anyi (240) 813-5563
Dr. Rukia Marijani (850) 980-6633
Shukran..

No comments: