Advertisements

Friday, May 12, 2017

TANZIA

Famiia Ya Jesca Ndewa Lyafwila. Wa Minesota . Na Tumaini Geofrey Temu Washmgton DC/ Annapolis Maryland.. Watoto wawatoto wa Mabinti Liampawe/Lisakafu wa Biro Malimyi Ulanga ..Inawataarifa Uma KuhusuKutangulia Mbele ya haki a Baba Yake Tumain Malimu i Geofrey Isack Auniel Temu Kilichotokea Jumatano Usiku Marangu Mamba Komakundi. Jitihada Binafsi Zinafanyika Ili Tumaini Geofrey Temu Aweze Kufika Moshi katka kipindi hiki kuungana na ndugu zake katika maombelezo na Na Sherehe za Maisha Ya Baba Yao Mpendwa.
Taarifa Ziwafikie Ukoo wa Liampawe UkionGozwa na Mwali Egidius Kassian Liampawe, Na Brigedia Gen Lisakafu.., Wandamba wote Duniani Na watanzania kwa Ujumla
Kwa mwenye Mchango wowote kufanikisha zoezi hili anaweza tuma kwa CITI bank ac no 678727833 route 254070116
Limetolewa Na Academia Tumaini Geofrey Temu

No comments: