Advertisements

Tuesday, August 22, 2017

JACK PEMBA ALIPIA HOTEL WACHEZAJI WA SIMBA NA ANATAFUTA UWEZEKANO WACHEZAJI WA SIMBA WASHUKE NA CHOPA UWANJANI



Uwanja wa mpira wa kikapu Bonanza ltakapopigiwa address 
6615 Dublin center Dr,
Dublin, OH 43017


Uwanja utakaopigiwa mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga address
Columbus Global Academy Stadium, 
4077 Karl rd, 
Columbus, OH 43224

Jack Pemba mfanyabishashara mweye pesa ndefu ambaye kwa sasa anaishi umangani na ambaye atakuwepo kwenye mtanange wa Simba na Yanga Columbus, Ohio amewachukulia wachezaji wa Simba vyumba kwa kukuaa watakapokua Columbus, Ohio wakati wa mechi yao na Yanga inayosubiliwa kwa wingi na wadau wa Columbus, na vitongoji vya jirani.

Boss Jack Pemba pia alikua akiangalia uwezakano wa kuwaleta wachezaji wa Simba kwenye mtanange huo kwa kuwakodishia chopa.

Mechi hiyo ya watani wa jadi inatarajiwa kuchezewa kwenye stadium ya Global Academy iliyopo Columbus na itachezwa baada ya bonanza la mpira wa kikapu.