Advertisements

Wednesday, October 11, 2017

BLOGGER WA JAMVI LA HABARI AMEREMETA JIJINI MBEYA

BLOGGER AAGANA NA UKAPERA
Blogger wa Jamvi la Habari ambaye pia ni mhadhiri wa chuo kikuu cha SAUT-Songea Willy Migodela. Tarehe 07/10/2017 alifunga harusi na Lightness Ngenzi katika kanisa la KKKT usharika wa Mbarali mkoani Mbeya. 
Pichani Bwana Harusi Willy Migodela na Bibi Harusi Lightness Ngenzi 
Pichani Bwana Harusi na Bibi Harusi wakiwa na wasimamizi wao Mr & Mrs Pambano Myula.
Pichani Bwana na Bibi Harusi wakiwa katika picha ya pamoja na wapambe wao. 
Bwana na Bibi Harusi wakiwa katika tabasamu la kufurahia ndoa yao 

No comments: