Advertisements

Friday, December 15, 2017

NAIBU WAZIRI AWESO ATEMBELEA MAMLAKA YA MAJI TANGA UWASA

NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akisalimiana na Afisa Rasilimali watu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa),Haika Ndalama mara baada ya kuwasili kwa ajili ya ziara ya kuitembelea mamlaka hiyo 

 NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akisalimiana na Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorrah Killo
mara baada ya kuwasili kwa ajili ya ziara ya kuitembelea mamlaka hiyo kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Mhandisi Phares Aram
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso kulia akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Phares Aram wakiingia kwenye ukumbi wa mikutano wa mamlaka hiyo kwa ajili ya kumpatia taarifa wakati wa ziara yake.

NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akizungumza wakati wa ziara hiyo 
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akizungumza wakati wa ziara hiyo kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhandisi Zena Saidi anayefuatia ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Phares Aram
 Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Phares Aram akizungumza wakati wa ziara hiyo
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akizungumza na watumishi wa mamlaka hiyo
Afisa Rasilimali watu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa),Haika Ndalama akizungumza wakati wa ziara hiyo wa Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso
 Sehemu ya watumishi wa mamlaka hiyo wakifuatilia nasaha za Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Mamlaka hiyo 
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso kulia akisisitiza jambo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafiri wa Mazingira Jijini Tanga,Phares Aram wakati alipotembelea mradi wa mfumo wa uboreshaji wa Maji
 Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso katikati akimsikiliza kwa umakini  Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafiri wa Mazingira Jijini Tanga,Phares Aram wakati alipotembelea mradi wa mfumo wa uboreshaji wa Maji (Habari kwa hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)
 Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorrah Killo akimueleza jambo kwenye ziara hiyo ya Naibu Waziri
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso  akichimba mtaro katika eneo la Mikanjuni Jijini Tanga wakati alipotembelea mradi wa mfumo wa uboreshaji wa Maji
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso  akichimba mtaro katika eneo la Mikanjuni Jijini Tanga wakati alipotembelea mradi wa mfumo wa uboreshaji wa Maji
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akitoa mchanga kwenye mtaro huo mara baada ya kuuchimba na sururu wakati wa ziara yake ya kutembelea mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa)
aimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafiri wa Mazingira Jijini Tanga,Phares Aram akichimba mtaro huo katikati anayeshuhudia ni Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso

Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha

No comments: