Mkurugenzi Mkuu wa Taasisis ya Jiolojia na Utafiti Madini (GST) Prof. Abdukarim Mruma alikimuelezea waziri wa Madini Angella Kairuki juu madini ya Ulanga , alipotembea katika jumba la makumbusho ya miamba na madini iliyopo GST.
Waziri wa Madini Bi.Angella Jasmine Kairuki pamoja na Manaibu waziri wa wizara hiyo Mh Dotto Biteko na Stanslaus Nyongo , na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini (GST) ,wakielekea katika ofisi nyingine kwa ajili ya kutembelea baada ya kupata maelezo juu ya uchunguzi , upimaji wa miamba kutoka kwa watalaam wa Idara ya Jiofikia na Jiolojia jana tarehe 16 Mei 2018 , viongozi hao walifanya ziara ya kikazi katika Taasisi ya Jiolojia na utafiti wa Madini kwa lengo la kuona kazi mbalimbali zifanywazo na taasisi hiyo.
No comments:
Post a Comment