Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi, bungeni jijini Dodoma Juni 20, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Joseph Kakunda, bungeni jijini Dodoma Juni 20, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mvomero Suleiman Saddiq kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 20, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment