Advertisements

Friday, November 23, 2018

PSSSF YATOA ELIMU KWA JISHI LA POLISI ZANZIBAR JUU YA FAIDA ZINAZOPATIKANWA KATIKA MFUKO HUO

 Meneja wa PSSSF Zanzibar Issa Sabuni akitoa elimu kwa Maafisa wa Jeshi la Polisi juu ya faida zinazopatikanwa katika  mfuko huo baada ya kuunganishwa na mifuko mengine na kua  mifuko mmoja wanye kuleta faida kwa  Wafanyakazi Wastaafu.
  Afisa Maendeleo PSSSF Hamza Msangi akitoa Mafunzo kwa Jeshi la Polisi faida zinazopatikanwa katika Mfiko huo katika ghafla iliofanyika katika ukumbi wa Polisi  Ziwani Mjini Unguja.
 Msaidizi Kamishna wa Polisi Zanzibar F C Shilogile  akitoa shukurani kwa Maafisa wa PSSSF kwa kuwapatia Mafunzo Wafanyakazi wake katika ghafla iliofanyika katika ukumbi wa Polisi  Ziwani Mjini Zanzibar,( kulia) ni Meneja wa PSSSF Zanzibar Issa Sabuni.

Baadhi ya Askari wa jeshi la Polisi waliohudhuria katika Mafunzo hayo yaliofanyika katika  Ukumbi wa Polisi Ziwani Mjini Unguja.

Picha na Abdalla Omar  Maelezo – Zanzibar.

No comments: