Advertisements

Monday, March 18, 2019

WAZIRI LUGOLA AONGOZA KIKAO CHA WAKUU WA IDARA WA WIZARA YAKE KUPITIA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2018/19

 Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola (kushoto) akizungumza katika Kikao cha kupitia Taarifa za Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara yake, ya Mwaka wa Fedha wa 2018/19, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu, na kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhan Kailima. 
 Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola (kushoto meza kuu) akizungumza na Wakuu wa Idara wa Wizara yake katika Kikao cha kupitia Taarifa za Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara hiyo, ya Mwaka wa Fedha wa 2018/19, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Kulia meza kuu ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola (kushoto meza kuu) akizungumza na Wakuu wa Idara wa Wizara yake katika Kikao cha kupitia Taarifa za Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara hiyo, ya Mwaka wa Fedha wa 2018/19, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Kulia meza kuu ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

No comments: