Balozi wa Afrika Union Mhe.Dkt. Arikana Chihombori Quao akisoma hotuba yake siku ya chakula cha jioni ya siku ya Afrika iliyofanyika katika hoteli ya Marriottt Mauquis siku ya alhamisi May 23, 2019.
Picha ya pamoja ya waheshimiwa Mabalozi.
Kati ni Balozi wa Tanzania nchiniMarekani, Mhe. Wilson Masilingi akijumuika na mabalozi wenzake kwenye siku ya Afrika iliyofanyika siku ya Alhamisi May 23, 2019 Washington,DC.
Picha zote kwa hisani ya Cypace/vmo
Kwa picha kibao bofyasoma zaidi
No comments:
Post a Comment