Advertisements

Saturday, May 25, 2019

SEVILLA YAICHAPA SIMBA BAO 5-4, YACHUKUA KIKOMBE CHA URAFIK

Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe, Harrison Mwakyembe (kulia) akitoa zawadi ya kikombe kwa mchezaji wa timu ya Sevilla mara baada ya kushinda mechi yao ya kirafiki na timu ya Simba SC uliofanyika May 23, 2019 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mechi hiyo ilikuwa imedhaminiwa na Kampuni ya SportPesa.
Wachezaji wa Simba SC na Sevilla ya Hispania wakifurahia pamoja mara baada ya kumaliza mechi yao ya kirafiki iliyochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 


Muonekano wa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ukitokea kwa juu.

No comments: