ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, August 28, 2019

LIVE: Mkutano wa Wasanii , Waziri wa Habari na Waziri wa Viwannda Nchini

LIVE: Mkutano wa Wasanii , Waziri wa Habari na Waziri wa Viwannda Nchini


LIVE: Wasanii Kulipwa Kila Sanaa yao inapotumika

Mkutano wa Wasanii wa sekta zote za sanaa nchini, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na Wizara ya Viwanda na Biashara, unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC) Dar es Salaam.

Waazimia Kuunganisha COSOTA, BASATA na BODI YA FILAMU na kuunda chombo kimoja.


*Msanii atalipwa 60% kwenye mlio wa simu.

*Leo 28/8/2019 ni Mwisho mtu kutumia kazi ya sanaa bila kulipia chochote. Kwenye Kumbi za Harusi, Kitchen Part, Muziki nk

No comments: