ANGALIA LIVE NEWS

Monday, January 20, 2020

RC SHIGELLA AWAAGIZA MA DC KUFANYA UZINDUZI WA VIFURISHI VYA BIMA YA AFYA KWENYE WILAYA ZAO

MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza wakati akizundua kampeni ya uhamasishaji wananchi kujiunga na vifurushi vya Bima ya Afya kwenye viwanja vya Tangamano Jijini Tanga kulia ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Benard Konga
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa NHIF Anna Makinda akizungumza wakati wa uzinduzi huo
MKURUGENZI wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Benard Konga akizungumza wakati wa uzinduzi huo 
MWENYEKITI wa Chama cha Bodaboda Tanzania Michael Haule akizungumza wakati wa uzinduzi huo

No comments: