
Taarifa zilizopo zinasema watu hao walipata maambukizi hayo baada ya kukutana na watu walio katika tume maalum ya kupambana na ugonjwa huo.
Pia wafanyakazi kadhaa wa ofisi za viongozi hao, wakiwemo walinzi, pia wamepata maambukizi hayo japokuwa majina yao hayakuchapishwa.
No comments:
Post a Comment