Advertisements

Wednesday, April 24, 2024

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA ATUNUKIWA NA RAIS NISHANI YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANZANIA, LEO IKULU CHAMWINO, DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemvalisha nishani ya Kumbukumbu ya miaka 60 ya Muungano Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Mzee Ramadhani Nyamka leo Aprili 24, 2024 Ikulu chamwino Jijini Dodoma

No comments: