RAIS WA ZAMBIA HAKAINDE HICHILEMA AWASILI KWA SHEREHE ZA MIAKA 60 YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema tayari amewasili nchini kwa ajili ya kushiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania ambapo amepokelewa na Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde.
No comments:
Post a Comment