RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKAMU MWENYEKITI WA BENKI YA DUNIA BI. VICTORIA KWAKWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika Bi. Victoria Kwakwa, tarehe 17 Machi 2025, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
No comments:
Post a Comment