Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameondoka Zanzibar na kuwasili Mkoani Kilimanjaro kushiriki katika mazishi ya aliyewahi kuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania marehemu Cleopa David Msuya.
Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR)


No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake