Sunday, January 31, 2010

Nyama Choma DMV

Kikosi cha Stars united kikiwa Houston

Kutakuwa na NYAMA CHOMA na mechi ya mpira wa miguu kati ya Stars united na Maryland United siku ya jumamosi april 3rd 2010 kiwanja au park itakayofanyikia bado kutangazwa,inasemakana huenda ikafanyikia Greencastle park iliyopo Brigs chaney,Silver Spring.

Mtayarishaji wa mechi hii,Syprian Kumalo amabe ni raia wa Bondeni mwa AFrika,amesema hii mechi ni kuwazawadia wachezaji wa zamani walio wahi kuichezea timu ya Maryland United.

Wachezaji Watanzania waliowahi kuichezaea timu hii ni Vicent Ndusilo,Liberatus Mwang'ombe,Elvis Dotto Mnyamuru na Chiwa Mwombela

No comments: