ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 14, 2011

DC Nyalugusu wakiwa kwenye Mazoezi makali

Juu na chini ni DC Nyalugusu wakiwa kwenye mazoezi makali chini kocha Jabir Jongo leo Jumanne June 14,2011 na wamesema mazoezi yapo kila siku uwanja upo 
Rosa L Parks Elementary School,
6111 Ager Road,
Hyattsville,MD
Kila mtu anakaribishwa Mazoezi yanaanza saa 1:00jioni(7:00pm)  

No comments: