Hii ni Boti Gari lenye uwezo wa kutembea Majini na Nchi kavu mambo haya nilikua nayaona kwenye sinema za Bond lakini Washington,DC ndio magari yatumiwayo kutembeza watalii wanaotembelea DC
1 comment:
Anonymous
said...
Ok, Brother kaka. Kumbe una ndugu halafu huwa unadai kuwa uko peke yako huku ughaibuni. Sasa najua walipo nitaendaga kuwasalimia. Hongera kwa kuwa na ndugu hapa ughaibuni.
1 comment:
Ok, Brother kaka. Kumbe una ndugu halafu huwa unadai kuwa uko peke yako huku ughaibuni. Sasa najua walipo nitaendaga kuwasalimia. Hongera kwa kuwa na ndugu hapa ughaibuni.
Post a Comment