ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, June 22, 2011

MAMBO YA DARAJANI

Mandhari na harakati za kila siku katika eneo hili la Darajani Mjini Zanzibar, kama linavyoonekana pichani wakati wa kazi asubuhi ndivyo linavyokuwa na pirika pirika za hapa na pale na msongamano wa watu wakiwa katika shufghuli zao.
MFANYABIASHARA ya Madafu akiwa  katika  mzunguko wa kutafuta wateja wa  bidhaa hiyo jana akiwa eneo la darajani, dafu moja huuza shillingi  500/=. (Picha na Othman Maulid)

No comments: