Sunday, July 15, 2012

P SQUARE WAONDOKEWA NA MAMA YAO MZAZI

Wasanii wakubwa nchini Nigeria na duniani kote, P-Square wamempoteza mama yao mzazi Mrs Okoye usiku wa kuamkia leo nchini India alipokuwa amepelekwa kwa matibabu baada ya kuhamishwa kutoka katika moja ya hospitali kubwa nchini Nigeria, 
St Nicholas iliyopo Yaba, Lagos.inasemekana mama wa wasanii hao, alikua ni moja kati ya nguzo yao kubwa kimuziki kwa kuwapa ushauri na upendo usio na gharama yoyote.
arrangement zinafanyika ili kuurudisha mwili wa marehemu nchini Nigeria.


1 comment:

Anonymous said...

poleni sana wana ndugu na jamaa wote wa p square, inanna lillahi waina illahim rajiun. ndo mwisho wetu sote najua mtam miss sana mama lakini mungu ndo ametaka iwe hivyo poleni sana sana kabisa na musiki wenu nafagilia sana kabisa

mdau wa kitanzania