Advertisements

Wednesday, August 22, 2012

MABONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' RAMADHANI SHAURI WASHINDA KWA T.K.O

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akiinuliwa mkono juu baada ya kumtandika mpinzani wake Sako Mwaiseje kwa T.K.O raundi ya 3 wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika siku ya Iddi pili katika ukumbi wa Diamond Jublee wa pili kushoto ni Kocha wa bondia Class ,Rajabu Mhamila Super D.

Bondia Sako Mwaiseje kushoto akipambana na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' katika mpambano wao uliofanyika siku ya Iddi pili King Class Mawe alishinda kwa T.K.O raundi ya tatu 
Bondia Ramadhani Shauri kushoto akipambana na bondia Sande Kizito wa Uganda walkati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa IBF Afrca lililofanyika siku ya Iddi pili katika ukumbi wa Diamond Jublee Shauri alishinda kwa T.K.O raundi ya nane
Rajabu Mhamila Super D Boxing Coach Ashanti na Ilala wa pili kushoto akiwa na furaha ya ushindi baada ya bondia wake Ibrahimu Class kumpiga Sako Mwaiseje kwa T.K.O raundi ya tatu
Bondia Ramadhani Shauri kushoto akipambana na bondia Sande Kizito wa Uganda walkati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa IBF Afrca lililofanyika siku ya Iddi pili katika ukumbi wa Diamond Jublee Shauri alishinda kwa T.K.O raundi ya nane 
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akinuliwa mkono juu baada ya kumtandika mpinzani wake Sako Mwaiseje kwa T.K.O raundi ya 3 wakati wa mcheo wao wa kirafiki uliofanyika siku ya Iddi pili katika ukumbi wa Diamond Jublee.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments: