Advertisements

Saturday, May 18, 2013

HII NDO LIST YA WATU MAARUFU KUTOKA KENYA NA TANZANIA, AMBAO WAMETAJWA NA MTANDAO WA KENYA KUA NI MAFREEMASON. WOLPER NAE KATAJWA


Inawezekana kila kitu kina wakati wake, kuna muda watu walikuwa wakisikia neno ‘Freemason’ ama ‘Illuminate’ kama inavyojulikana nchini Kenya wengi walikuwa wanaiona ni habari kubwa, lakini kwa sasa hivi inaweza kuchukuliwa kama sio big deal.
Sababu ni ile ile kuwa wengi wanaoendelea kwa haraka ama kuwa juu katika kile wanachokifanya basi utasikia huyo ni member wa Freemason, kwa upande wa Marekani wanasema ‘he/she just sold her/his soul to the devil’. Japo kwa upande wa Marekani wapo wanaokiri kufanya hivyo kweli, ila kwa Africa Mashariki hakuna msanii aliyewahi kukiri.
Lakini yote hayo ni kama yanakanganya na kuonekana kama hayana mantiki hasa pale ambapo vithibitisho vya kinachoongelewa huwa havileti mantiki ya moja kwa moja. Pengine watu wanatafuta pesa kwa bidii na kumuomba Mungu lakini kwa kuwa kwenye mstari wa juu wanajikuta wanahisiwa kuwa member wa secret society (Freemason). Oh..au labda ndo vile kwa upande mwingine lisemalo lipo na kama halipo laja !
Tunathubutu kuziita blaa blaa kwa upande mwingine, lakini tukiweka kwenye mabano kuwa inaweza kuwa na ukweli, who knows!
Mtandao wa malimwengu wa nchini Kenya huenda ukawa na mfano mzuri wa kile nilichokitaja hapo juu, mtandao huo kupitia mwandishi wake imetaja majina ya wasanii wa Tanzania na Kenya wanaosemekana kuwa ni wafuasi wa Freemason, lakini kizuri zaidi ni kwamba mtandao huo umejaribu kuonesha vithibitisho na kushindwa kupata jibu la moja kwa moja kwa nini wasanii hawa wamekumbwa na hili. Inabaki hivyo hivyo kuwa tetesi tu.
Hawa ni wasanii waliotajwa na maelezo yanayowahusu:
TANZANIA:
1.Naseeb Abdul Jumaa (Diamond Platinum)
Picha aliyopiga mwaka jana akiwa na mzungu anaeaminika kuwa ni moja kati ya viongozi wa Freemason wakiwa wameweka pozi na kuonesha ishara inayooaminika kuwa ni ya Freemason, na kwamba alipoulizwa yeye alisema hakufahamu kama alikuwa anaelekezwa kupiga picha kwa pozi la ki-freemason. Kwa mujibu wa mwandishi anaona inaweza kuwa kweli kwa sababu anaonekana kuenjoy! 
2.Ali Kiba
Iliwahi kusemekana pia kuwa Ali Kiba ni Freemason, na wewe pia unaweza kufikiria sababu kwamba eti alikuwa maarufu sana na baadae kufifia. Maoni ya mwandishi (Hakuna uthibithibisho/ushaidi unaoweza kuwekwa thidi yake). 

3.Jacquelin Wolper
Ni muigizaji maarufu wa kike mtanzania. Maoni ya mwandishi ( Hakuna ushaidi, tetesi peke yake hazina umuhimu)
KENYA:
1.Camp Mulla
Maoni ya mwandishi (Hapana, sio kweli. Sababu ya kufanikiwa kwenye muziki haimaanishi kuwa ni members wa Freemason. Hakuna mtu mwenye ushahidi kuwa Camp Mulla ni members wa Freemason).
2.Octopizzo
Maelezo yanayomhusu yanaonekana kuwa mengi sana kama kawaida, ni moja kati ya wasanii ambao tetesi za kuwa illuminate ni nyingi zaidi.

3.Nonini
Ukimtaja Nonini kama Illuminati lazima kitu serious zaidi kiandikwe ama ikielezwe. Nonini sio Illuminati (maoni ya mwandishi).


Hao ndio waliandikwa na kutolewa maoni ama maelezo na muandishi wa mtandao huo. Lakini tetesi huwa nyingi na kuongezeka mara kwa mara kwani hata Avril pia huwa anatajwa kuwa Illuminati na kwamba kazi yake ni kueneza usagaji nchini humo na eti sababu mojawapo ni mashairi ya wimbo wake ‘Chokoza’.


Haya yote yanasemwa tu, cha kufanya ni kile alichokisema Prof. Jay kwenye wimbo wake ‘Bongo Dar es Salaam’... “Akili kumkichwa, ukizubaa unaachwa feli”.

57 comments:

Anonymous said...

wanadhani mchezo kujiunga na kikundi hicho watakiona wasipofuata masharti ya hawao wakuu wao watatolewa roho zao mbichi kama kina michael jackson na kanumba unadhani umarufu na utajiri una mwisho mwema, kila mtu anatapa pesa na kujulikaa hapa ulimwenguni hawataki kujulikana kwenye uzima wa milele

nawaone huruma heri ya mimi ninaye kuka dagaa na ugari wangu na kutulia tuli kwenye kijumba changu cha makuti na siku yangu kwenda na furaha moyoni sitaki utajiri wala umarufu dhiki yangu nishaizoea na hainipi taabu wala huzuni

kazi kwa hao wanautaka utajiri na umarufu wa haraka na kujiunga na vikundi hivi vya freemason nawasikitikia sana ndugu zangu nyiyeee

Unknown said...

Kujiunga kubwa illuminate online leo na kufanya
ubinafsi wako matajiri na maarufu katika maisha unaweza email yetu
kupitia Illuminati develchurch@gmail.com au kuongeza sisi
juu ya Whatsapp +2349051286560 au kuongeza yetu juu ya
Facebook kusubiri kwa majibu yako kwa haraka kama
inawezekana kuendelea juu yenu.

Unknown said...

Kwa Wanaotaka Kujiunga Nao
Namba za Kiongozi wao Sir Andy Chande
Hizi Hapa 0742796193.

Hookups in Kenya said...

Join the Illuminati cult online today and get instant sum of 5 million dollars with a free home any where you choose to live in the world.

Join the Illuminati cult

dan jerry said...

Welcome to brotherhood Illuminati where you can become
rich famous and popular and your life story we be change
totally my name is Dan Jerry I am here to share my
testimony on how I join the great brotherhood Illuminati
and my life story was change immediately . I was very poor
no job and I has no money to even feed and take care of my
family I was confuse in life I don’t know what to do I try all
my possible best to get money but no one work out for me
each day I share tears, I was just looking out my family no
money to take care of them until one day I decided to join
the great Illuminati , I come across them in the internet I
never believe I said let me try I email them.all what they
said we happen in my life just started it was like a dream to
me they really change my story totally . They give me the
sum of $1,200,000 and many thing. through the Illuminati I
was able to become rich, and have many industry on my
own and become famous and popular in my country , today
me and my family is living happily and I am the most
happiest man here is the opportunity for you to join the
Illuminati and become rich and famous in life and be like
other people and you life we be change totally.If you are
interested in joining the great brotherhood Illuminati.then
contact him +2348106618681 email:illuminatibrotherpowerful@
gmail.com or you need my assistance email:danjerry04@gmail.com

Unknown said...

Hawa wanaojifanya ni mawakala wa illuminate ni wezi (scam) stay away from them

Unknown said...

Hawa wanaojifanya ni mawakala wa illuminate ni wezi (scam) stay away from them

Unknown said...

Mbona namba ya Nigeria na ninavyowajua Nigeria n wezi wezi kinoma.kwa Mungu ni Bure huko utauza nafsi yako kwa pesa fikiri Mara mbili

Unknown said...

mimi nataka kujiunga na sina fee tafadhali

martin maxwell said...

WELCOME TO THE GREAT BROTHERHOOD.
Do you want to be a member of Illuminati as a brotherhood
that will make you rich and famous in the world and have
power to control people in the high place in the worldwide
.Are you a business man or woman,artist, political,
musician, student, do you want to be rich, famous, powerful
in life, join the Illuminati brotherhood cult today and get
instant rich sum of. 2 million dollars in a week, and a free
home.any where you choose to live in this world
BENEFITS GIVEN TO NEW MEMBERS of ILLUMINATI.
1. A Cash Reward of USD $500,000 USD
2. A New Sleek Dream CAR valued at USD $300,000 USD
3.A Dream House bought in the country of your own choice
4. One Month holiday (fully paid) to your dream tourist
destination.
5.One year Golf Membership package
6.A V.I.P treatment in all Airports in the World 7.A total
Lifestyle change 8.Access to Bohemian Grove
account every month as a member
9.One Month booked Appointment with Top 5 world
Leaders and Top 5 Celebrities in the World.
If you are interested of joining us in the great brotherhood of illuminati CONTACT MR ROLAND or WhatsApp him +2348142587627
or email:illuminatipower666brotherhood@gmail.com

martin maxwell said...

WELCOME TO THE GREAT BROTHERHOOD.
Do you want to be a member of Illuminati as a brotherhood
that will make you rich and famous in the world and have
power to control people in the high place in the worldwide
.Are you a business man or woman,artist, political,
musician, student, do you want to be rich, famous, powerful
in life, join the Illuminati brotherhood cult today and get
instant rich sum of. 2 million dollars in a week, and a free
home.any where you choose to live in this world
BENEFITS GIVEN TO NEW MEMBERS of ILLUMINATI.
1. A Cash Reward of USD $500,000 USD
2. A New Sleek Dream CAR valued at USD $300,000 USD
3.A Dream House bought in the country of your own choice
4. One Month holiday (fully paid) to your dream tourist
destination.
5.One year Golf Membership package
6.A V.I.P treatment in all Airports in the World 7.A total
Lifestyle change 8.Access to Bohemian Grove
account every month as a member
9.One Month booked Appointment with Top 5 world
Leaders and Top 5 Celebrities in the World.
If you are interested of joining us in the great brotherhood of illuminati CONTACT MR ROLAND or WhatsApp him +2348142587627
or email:illuminatipower666brotherhood@gmail.com

Unknown said...

Yes I want to join

Unknown said...

God🤫🤫

Unknown said...

Habari!!! Je, una nia ya kujiunga na udugu mkubwa wa Illuminati ili uwe tajiri na maarufu maishani? Haya ndiyo manufaa wanayopewa wanachama wapya *Zawadi ya Pesa Taslimu ya Dola 500,000 za Marekani *Gari Jipya la chaguo lako *Nyumba ya Ndoto iliyonunuliwa katika nchi uliyochagua mwenyewe *Likizo ya Mwezi Mmoja (imelipiwa kikamilifu) kwenye eneo lako la utalii la ndoto. $100,000 Dola ya Marekani kwenye akaunti yako ya benki kila wiki kama mwanachama ikiwa una nia unaweza Kusema NDIYO SASA.
DM kupitia whatsapp >+1 (618) 440-2248

Adamsscott said...

hamjambo nyote naitwa Alexis Andrewi natokea Italy natoa ushuhuda jinsi nilivyojiunga na illuminati brotherhood,nilikuwa najaribu kujiunga na shirika hili kwa miaka mingi sasa,nikatapeliwa na wakala feki huko south Africa na Nigeria, nilikuwa chini sikuweza kujilisha tena mimi na familia yangu na nilijaribu kutafuta pesa kwa njia zote lakini haikufanikiwa, niliogopa kuwasiliana na wakala yeyote wa illuminati kwa sababu wamekula pesa yangu, siku moja nilikutana na post ya mtu. akitoa ushuhuda wa kumshukuru mtu anayeitwa David Mark kwa kumsaidia kujiunga na udugu wa illuminati, kisha nikatazama barua pepe ya mtu huyo na namba ya simu iliyoandikwa hapo, niliogopa kuwasiliana naye kwa sababu nilitapeliwa mara nyingi na matapeli. na kwenda na zile pesa ndipo nilichanganyikiwa sana nikaamua kuwasiliana na mtu aliyepewa ushuhuda nikampigia na nikawasiliana naye kwa simu kabla hajaanza kunisimulia stori yake ya lini anataka kujiunga. aliniambia kila kitu kufanya, ndipo nilipoamua na kumpigia simu wakala David Mark na akaniambia kila kitu cha kufanya na mimi nilianzishwa, cha kushangaza nilipewa faida yangu ya kuwa mwanachama mpya wa udugu mkubwa wa illuminati nilifurahi sana, wale wanaojaribu kujiunga na shirika hili hii ni fursa yako kwako kujiunga WASILIANA NA MR David Mark kwa WhatsApp namba +2348140101327

Unknown said...

I wanna join

Erick said...

Pesa

Erick said...

Niko na shida

Anonymous said...

I am ready to join

Anonymous said...

Yes it's now

Anonymous said...

Ndio

Anonymous said...

Ndio

Anonymous said...

Hey i want to join

Anonymous said...

Nine swali

Anonymous said...

Kesho

Anonymous said...

I want to join

Anonymous said...

Niko Kenya naweza wapata wapi please

Anonymous said...

Hi ,l have a driem to be a business man and I don't have any money to start will u asist me .

Anonymous said...

Ninataka kujoin

Anonymous said...

I want to join

Anonymous said...

Ndiyo

Anonymous said...

Need to join

Anonymous said...

Nahitaji kua mwanachama

Anonymous said...

Interested

Anonymous said...

Ni noma sana but kama naeza PATA 5milion ndio iyo namba angu

Anonymous said...

Ndio sasa

Anonymous said...

I need to join

Anonymous said...

Ok

Anonymous said...

Nataka mukopo wenu

Anonymous said...

Pesa

Anonymous said...

Where can I find and I want to join

Anonymous said...

Sawa

Anonymous said...

Kwa Mungu ndio Best....Kuna kila kitu,cha Umuhimu ni kuamini na kumtumikia Mungu

Anonymous said...

Naomba kujiunga na chama

Anonymous said...

Naomba kujiunga na chama

Anonymous said...

Naomba kujiunga na chama

Anonymous said...

like to join

Anonymous said...

Nilichanganyikiwa na kuhuzunika mume wangu alipoomba talaka. Kisha nikawasiliana na Dk DAWN, baada ya kuona ushuhuda mwingi wa jinsi Dk DAWN alivyosaidia watu wengi kurejesha amani katika ndoa na uhusiano wao,
Pia niliona jinsi alivyotibu magonjwa mbalimbali na kusaidia watu wachache kutibu ugumba, niliamua kuwasiliana naye kwa msaada,
Aliahidi kusaidia wakati baada ya kumueleza kila kitu, nilimpa kila alichouliza na akafanya kazi yake, sasa mume wangu ananipenda sana na ananitendea kwa Matunzo. Nyumba yangu ni ya amani na imejaa furaha, shukrani zote kwa Dk DAWN,

Wasiliana naye ikiwa una tatizo lolote kwa sasa. Yeye ni WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

.... said...

Nilichanganyikiwa na kuhuzunika mume wangu alipoomba talaka. Kisha nikawasiliana na Dk DAWN, baada ya kuona ushuhuda mwingi wa jinsi Dk DAWN alivyosaidia watu wengi kurejesha amani katika ndoa na uhusiano wao,
Pia niliona jinsi alivyotibu magonjwa mbalimbali na kusaidia watu wachache kutibu ugumba, niliamua kuwasiliana naye kwa msaada,
Aliahidi kusaidia wakati baada ya kumueleza kila kitu, nilimpa kila alichouliza na akafanya kazi yake, sasa mume wangu ananipenda sana na ananitendea kwa Matunzo. Nyumba yangu ni ya amani na imejaa furaha, shukrani zote kwa Dk DAWN,

Wasiliana naye ikiwa una tatizo lolote kwa sasa. Yeye ni WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

Anonymous said...

Nataka kujiuga na chama

Anonymous said...

I want to join now

Anonymous said...

Nahitaji kujiunga na chama

Anonymous said...

Yes

Anonymous said...

I wanna to jioni

Anonymous said...

Fanya kazi upate pesa uanze biashara kama venye umechoka na life na hivyo hivi TU ndio utachoka na wakukule nyama

Anonymous said...

NDiYo

Anonymous said...

Ndiyo
Naitaji