Wednesday, May 15, 2013

MUONEKANO WA RAMANI YA UWANJA MPYA WA CLUB YA MPIRA YA YANGA


Klabu ya mpira wa miguu ya YANGA SC inatarajia kuwa na UWANJA wake binafsi ... UWANJA huo wa kisasa kabisa unatarajia kuanza ujenzi wake mapema mwezi ujao chini ya kampuni ya BEIJING CONSTRUCTION ENGINEERING GROUP ...
Klabu hiyo pia inatarajia kusaini mkataba mwisho wa mwezi huu kuashiria kuanza kwa ujenzi wa UWANJA huo ...

No comments: