Wednesday, July 17, 2013

KAPOMBE ANAONDOKA KESHO MWANZA KWA SAFARI YA UHOLANZI, STARS YAENDELEA KUJIFUA KIRUMBA

Chuji hajang'atuka; Kiungo Athumani Iddi 'Chuji' (wa tatu kushoto) aliyeripotiwa na gazeti moja kwamba ameng'atuka Stars akiwa mazoezini na wenzake leo

Kapombe, anayechezea klabu ya Simba ya Dar es Salaam ataondoka nchini Ijumaa kwenda Uholanzi kujaribu bahati yake, ambako amealikwa na mtu aliyejitolea kumtafutia timu ya kuchezea huko.
Stars inaendelea na mazoezi mjini Mwanza na kocha Kim Poulsen pamoja na kutoa ruhusa Kapombe aende Uholanzi, lakini hajaita mtu wa kuziba pengo lake. 
Tayari kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto ametoroka kwenye kambi hiyo na inadaiwa amekwenda Qatar kutafuta timu, lakini huyo pengo lake limezibwa na Mudathir Yahya wa Azam FC

No comments: