ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, September 17, 2013

MHE MWIGULU NCHEMBA AJIUNGA NA VIONGOZI WAKE WA CCM TAWI LA CALIFORNIA KATIKA MAPOKEZI YA MHE. RAISI JAKAYA M. KIKWETE. SAN FRANCISCO - CALIFORNIA

Mhe. Mwingulu Nchemba (Kulia) akiwa amesimama na Mwenyekit wa CCM  Tawi la California Josephine M. (kushoto) kabla ya kuwasili kwa Mhe. Raisi Jakaya Kikwete katika jiji la San Francisco - California. Mhe. Nchemba alizindua tawi la california  siku ya jumamosi Sept 14 katika mji wa Oakland
Viongozi wa tawi la CCM California, Mwenyekiti Josephine M. (kushoto) na Katibu wake Erick B (kulia) wakiwa tayari katika mapokezi ya Mhe. Raisi Jakaya Mrisho Kikwete katika jiji la San Francisco - California siku ya jumatatu Sept 16.