Nimeambiwa pia Mshindi anajichukulia milioni 50 ambapo waliofanikiwa kuingia fainali ni Amina Chibaba (MBEYA), Melisa John (DSM), Elizabeth Mwakijambile (DSM), Emmanuel Msuya (MWANZA) na Maina Thadei (DSM) ambapo kabla ya mshindi kutangazwa, Snura, Barnaba, Young Killer, Shaa, Walter Chilambo, Peter Msechu na Makomandoo watapewa nafasi ya kumiliki stage.
VIP unaimiliki kwa 50,000/ na huku kwingine ni 20,000/=ambapo tiketi za siku ya Fainali zinapatikana Shear illusion, Biggy Respect (Kariakoo) Steers Mjini, Zizzou Fashion (Victoria na Sinza) Photo Point (Mayfair) Robby One Fashion (Kinondoni) Best Bite, Engen Mbezi, Escape One (Mikocheni), Benchmark Office Mikocheni, American Nails (Kinondoni).
No comments:
Post a Comment