Advertisements

Monday, December 2, 2013

MKASA: "NILILISHWA KINYESI NA MAKAMASI KAMA UGALI NA MBOGA BAADA YA KUFAMANIWA NA MKE WA MTU"....SITASAHAU...!!

Ilikua mwaka 2008 nilipomaliza shaada yangu ya kwanza pale mlimani na katika harakati za kutafuta ajira nikajikuta nimejiingiza kwenye mahusiano na mke wa mtu ambaye nilikutana nae pale posta kwenye ofisi flani ambayo nisingependa kuitaja jina
Nakumbuka vizuri sana siku ya tukio kwani siwezi kuisahau kamwe ilikua jumapili maeneo ya kinondoni kwenye hotel ya chichi hotel kinondoni tulifika mpaka ndani majira ya saa 8 mchana wakati tukiwa tunaendelea na tendo mara gafla mlango uligonga na nuilienda kuufungua mara gafla nikakutana na wanaume wanne 

walijazia misuli nikiwa ndani wakaniambia nichague wanilawiti au nile mavi yangu na makamasi mwanzo nilijua utani lakini walianza kunishika kwa nguvu na kutaka kunipaka mafuta ilibidi nikubali kula mavi yangu ambayo walinilazimisha kujisadia mbele yao na mmoja wao alikua na mafua alipenga makamasi mengi na kunilazimisha nile kama mlenda baadae wakaniambia duu mshikaji unafaa kwenda jeshini mana una roho ngumu kweli ni maneno ya kejeri waliniambia.

No comments: