Advertisements

Thursday, October 2, 2014

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE PANGANI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikinga maji wakati wa kuzindua mradi wa maji wa kata ya Mkalamo wilaya ya Pangani mkoani Tanga.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimtwisha dumu la maji mmoja wa wakazi wa kata ya Mkalamo
 Wananchi wa Kata ya Mkalamo  wakichota maji safi na salama kwenye mradi wa maji ya kisima kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 29 ambacho kimefadhiliwa na hifadhi ya Taifa ya Saadani.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchimba mtaro wa bomba la maji  wa kata ya Mkalamo wilaya ya Pangani mkoani Tanga.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kufyatua matofali ya ujenzi wa ofisi yaCCM kata ya Mkwaja.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akibeba tofali kata ya Mkwaja,Pangani mkoani Tanga.

 Popoo zikiwa zimeanikwa
 Katibu wa NEC Itkadi na Uenezi Nape Nnauye akichambua Popoo katika kijiji cha Mseko,Pangani mkoani Tanga.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (kulia) akishiriki kumenya popoo pamoja na viongozi wa CCM wilaya ya Pangani
 Wahamasishaji wa Pangani wakiwa wamependeza na sare yao ya CCM
 Katibu Mkuu wa CCm Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa ofisi ya CCM tawi la Mseko
 Tanga ni mkoa maarufu kwa kilimo cha katani
 Sehemu ya kuanikia katatani
 Wananchi wakifuatilia mkutano wa hadhara uliofanyika Mwera
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa pangani na kuwaambia kuwa saa za kuisha kwa upinzani zimeshafika
 Kila mtu alifika uwanjani kumsikiliza Katibu Mku wa CCM Ndugu Abdulrahman  Kinana
 Viongozi wa Dini wa wilaya ya Pangani wakifuatlilia mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
 Fulana za kumkaribisha Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman  Kinana
 Mbunge wa Pangani Mh.Salehe Ahmed Pamba akihutubia wakazi wa Mwera na kuwaambia hatua walizofikia katika Jimbo la Pangani kimaendeleo,
 Muuza machungwa akiuza machungwa kwenye mkutano wa Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana
 Kamanda wa Matukio Ndugu Richard Mwaikenda akiwa  kazini kuhakikisha mikutano inapata picha
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Pangani kwenye kiwanja ch mikutano Mwera
 Wananchi wakifuatlia mkutano

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mwera Pangani ambapo aliwaambia wasiuze ardhi kiolela kwani kuna matapeli wa ardhi
 Mwinyimkuu Nasoro Sultan akiuli\ swali juu ya malipo ya mafao ya kustaafu
 Diwani wa Kata ya Ubangaya akijibu moja ya maswali kutoka wananchi

 Wachezaji walioongoza  michuano ya Mbuzi
 Beberu akiwa amebebwa juu juu
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akionyesha kadi ya CUF iliyorudishwa na Bw. Mohamed ambaye amejiunga na CCM
 Bw. Mohamed ambaye amejiunga na CCM kutokea chama cha CUF akizungumza mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  kwenye uwanja wa mikutano Mwera wilaya ya Pangani.
Wananchi wa Mwera wakimpa mkono wa pongezi Ramadhani Rashidi aliyerejea CCM akitokea chama cha CUF

No comments: