Advertisements

Friday, December 11, 2015

MKUU WA WILAYA YA MOSHI ,NOVATUS MAKUNGA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC.

Mkuu wa wilaya ya Moshi, Novatus Makunga alipofanya kikao na viongozi wa hosptali ya rufaa ya KCMC ya mkoani Kilimanjaro.

Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga (kulia) akitoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayotajwa kuwa changamoto kwa Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga alipotembelea hosptalini hapo.  
Baadhi ya wakuu wa idara waliongozana na mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga alipofanya ziara katika hospali hiyo.
Baadhi ya wakuu wa itengo katika hosptali ya KCMC.
Mganga mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Dkt Timoth Wonanji akichangia jambo wakati wa kikao cha mkuu wa wilaya ya Moshi ,Novatus Makunga (kulia) alipokutana na viongozi wa Hopstali ya Rufaa ya KCMC.
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akiwa katika kitengo cha macho alipofanya ziara katika Hosptali ya Rufaa ya KCMC.
dc Makunga akitoka kitengo cha Macho akiongozana na Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC ,Dkt Giliard Masenga .
DC Makunga akipita katika wodi mbalimbali hosptalini hapo.
Dk Bingwa wa magonjwa ya figo,Dkt Kilonzo akitoa maelezo kwa mkuu wa wilaya ya Moshi ,Novatus Makunga alipotembelea hosptali hiyo.
Mkuu wa wilaya akizunumza jambo mara baada ya kutembelea chumba chenye mashine ya CT -Scan katika hosptali hiyo,kulia ni mkuu wa kitengo hicho Dkt Fatma.
Mwangalizi wa sehemu ya kuhifadhia maiti katika hosptali ya rufaa ya KCMC,Bwana Issa akitoa maelezo kwa Dc Makunga (hayupo pichani ) alipotemblea chumba hicho.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments: