Waziri Mkuu Majaliwa na mkewe Mary wakimpa pole Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mkewe Salma (kushoto) wakati walipokwenda nyumbani kwao jijini Dar es salaam kuhani msiba wa kaka yake Rais Mstaafu Marehemu Selemani Mrisho Kikwete leo.
(Picha n ofisi ya Waziri Mkuu).
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake