ANGALIA LIVE NEWS

Friday, January 6, 2017

SHUKRANI KWA WOTE

Saidi, Nuru na Kuluthumu Mwamende Wakiwa na Watoto wao Nabil na Allytza 
 
Familia ya Kina Mwamende inapenda kutoa Shukurani za dhati kwa ndugu na jamaa wote katika kipindi hiki kigumu cha Msiba wa Mama . Tunawashukuru nyote kwa faraja mliotupatia toka msiba ulipotokea kwa kutupigia simu, kuja kutuona na michango yenu ya hali na mali. Mwenyezi mungu muweza na muumba wa yote atawalipa pasipo na kipimo.

Umoja,upendo  na ushirikiano mliotuonyesha hatutoweza kuusahau.

Asanteni:
Saidi, Nuru na Kuruthumu Mwamende
 Saidi Mwamende Akitoa shukurani
 





































































No comments: