Advertisements

Friday, June 16, 2017

:KATIBU WA BUNGE DKT. KASHILILAH AONGOZA KIKAO CHA MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA BUNGE LEO UKUMBI WA SPIKA MJINI DODOMA

 Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah akiongoza kikao cha Menejimenti ya Utumishi wa Bunge kilichofanyika leo Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.
Wajumbe wa kikao cha Menejimenti ya Utumishi wa Bunge wakimsikiliza Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika leo Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments: