Advertisements

Sunday, July 23, 2017

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI WA MKOA WA KIGOMA

 Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa na Waziri Maji Mhandisi Gerson Lwenge, Mbunge wa Kigoma mjini Mhe. Zitto Kabwe pamoja  na viongozi wengine wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa ujenzi  wa mradi wa maji toka ziwa Tanganyika.
  Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa na Waziri Maji Mhandisi Gerson Lwenge, Mbunge wa Kigoma mjini Mhe. Zitto Kabwe pamoja  na viongozi wengine akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa ujenzi  wa mradi wa maji toka Ziwa Tanganyika 
 Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipata maelezo ya ujenzi wa mradi mkubwa wa maji toka Ziwa Tanganyika toka kwa mhandisi mshauri wa mradi huo ndugu Michael Mwamkinga 
 Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt, John Pombe Joseph Magufuli akipata maelezo ya ujenzi wa mradi mkubwa wa maji toka Ziwa Tanganyika toka kwa mhandisi mshauri wa mradi huo ndugu Michael Mwamkinga 
  Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt.  John Pombe Joseph Magufuli akihutubia Mamia ya Wananchi wa Mkoa wa Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. 
 Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, akiwa katika picha ya pamoja na vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa Bulombora Kikosi cha 821KJ.

Vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa Bulombora Kikosi cha 821kj wakishangilia mara baada ya kukutana na kupiga picha kusalimiana na Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 


Maelfu ya waanchi wakimsikiliza Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  Magufuli wakati akiwahutubia a katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. 
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  akisoma mabango baada ya kuhutubia  katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma



Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwatuliza wananchi wakati akisoma mabango baada ya kuhutubia  katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma

Umati wa wananchi uliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania DktJohn Pombe Joseph Magufuli  katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. PICHA NA IKULU

No comments: