Bwn. Idd Sandaly akielezea Head Inc. ni nini na jinsi gani wanavyofanya kazi katika kujaribu kuokoa maisha ya Watanzania wenzao nyumbani Tanzania Head Inc iliratibu shughuli nzima yenye lengo la kuchangia madawa na madaktari watakaopelekwa Tanzania mwaka 2018. Head Inc gala ilifanyika siku ya jumamosi Dec 16, 2917.
Bi Asha Nyang'anyi CEO wa Head Inc akielezea jambo.
No comments:
Post a Comment