Advertisements

Wednesday, August 15, 2018

Kauli fupi kutoka Twaweza

Twaweza imeona taarifa za uongo kwenye gazeti mojawapo la Agosti 13, 2018. Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza sio mwanachama na hajawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini Tanzania.

Twaweza ni taasisi huru isiyofungamana na itikadi yoyote wa kisiasa. Tunaamini katika uhuru na haki za msingi ikiwemo uhuru wa kujumuika na uhuru wa kutoa maoni. Hizi ni haki za msingi za binadamu ambazo zimeainishwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mitazamo ya kisiasa au uanachama wa kisiasa wa mfanyakazi yeyote wa Twaweza haushawishi maudhui ya kazi zetu na tafiti tunazochapisha.

*****
A short statement from Twaweza

Twaweza has noted a false article in a local newspaper of August 13, 2018. The Executive Director of Twaweza is not, and has never been, a member of any political party in Tanzania.

Twaweza is an independent, non-partisan organization. We believe in and promote basic freedoms of association, assembly and expression. These are inalienable rights granted to us by the Constitution of the United Republic of Tanzania. The political views or membership of any Twaweza staff member influence neither the content of our work, nor the analysis that we publish.

No comments: