Advertisements

Tuesday, September 18, 2018

Ray C Amwanika Mpenzi wake wa Kizungu

Msanii  mkongwe wa Bongo Fleva Ray C  ameamua kumuanika mpenzi wake kwa mashabiki wake mwenye asili ya kizungu kupitia ukurasa wake wa instagram.

Ray C aliwahi kuwa mapenzini na msanii Lord Eyes miaka kadhaa iliyopita lakini baada ya kuachana hakuwahi kuweka wazi wala kuzungumzia chochote kuhusiana na mahusiano yake mapya .

Mashabiki wengi wameonekana kufurahishwa na kitendo cha Ray C kumwanika mpenzi wake wa sasa  huku wengine wakionekana kumtaka achague wa hapahapa nchini. 

No comments: