Advertisements

Friday, January 11, 2019

KAMATI YA BUNGE YA MASUALA YA UKIMWI YAFANYA KIKAO JIJINI DODOMA

 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda  na Kimataifa, Dkt. Damas Ndumbaro akiwasilisha Taarifa ya Wizara yake kuhusu Utekelezaji wa afua za UKIMWI mahali pa kazi kwa wizara na namna inavyoshirikiana na Mataifa mengine katika mapambano dhidi ya madawa ya kulevya katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI, Mhe. Oscer Mukasa akiongoza kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masula ya UKIMWI, wakiwa katika kikao kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kamati hiyo ilipokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa kuhusu Utekelezaji wa afua za UKIMWI mahali pa kazi kwa wizara na namna inavyoshirikiana na Mataifa mengine katika mapambano dhidi ya madawa ya kulevya
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masula ya UKIMWI, wakiwa katika kikao kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kamati hiyo ilipokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa kuhusu Utekelezaji wa afua za UKIMWI mahali pa kazi kwa wizara na namna inavyoshirikiana na Mataifa mengine katika mapambano dhidi ya madawa ya kulevya

No comments: