Advertisements

Monday, February 18, 2019

UPDATE KESI YA RAFIKI YETU MAREHEMU ANDREW NICKY SANGA

Image result for andrew sanga houston
Tunapenda kuwashukuru ndugu , jamaa , marafiki na Wanajumuiya wote kwa ujumla kwa kuwa pamoja nasi katika kipindi chote hiki cha kufuatilia kesi ya mauaji ya kinyama ya mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga ( Baba Zoe ).

Tunapenda kuwafahamisha kuwa kesi imeisha rasmi leo ( 02/18/2019) saa 4 asubuhi kwa mtuhumiwa Villere Henderson Johnson kukiri makosa na kuhukumiwa kifungo cha miaka 35 jela bila parole.

Tunamshukuru Mungu kwa sala zenu.

Ahsanteni sana,
Emmy Matafu na Zoe Sanga

No comments: