Advertisements

Wednesday, March 25, 2020

BALOZI KANALI IBUGE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAIMU BALOZI WA PAKISTAN

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akisalimiana na Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad Saleem alipowasili katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara jijini Dodoma. Wawili hao wamejadili masuala mbalimbali ya kudumisha na kukuza uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili. 
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge na Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad Saleem wakiwa katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye Ofisi za Wizara jijini Dodoma. Wengine ni Caesar C. Waitara Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia (Wa kwanza kulia) na Afisa kutoka Ubalozi wa Pakistan nchini (Wa nne kushoto). 
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akielezea jambo kwa Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad Saleem walipo kutana kwa mazungumzo katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akimsikiliza Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad Saleem walipo kutana kwa mazungumzo katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma 
Mazungumzo yakiwa yanaendelea

No comments: