Advertisements

Tuesday, July 27, 2021

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja afariki dunia

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kusini Unguja, Ramadhan Abdalla Ali amefariki dunia nyumbai kwake visiwani Zanzibar.

No comments: