RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya Muungano Cup kwa Nahodha wa Timu ya Simba Mohammed Hussein, baada ya kuifunga Timu ya Azam katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar,Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
No comments:
Post a Comment