Dosari hizo zililazimu Toyota kulazimika kurejesha mamilioni ya magari yake.
Bwana Akio Toyoda alikabiliwa na wakati mgumu kujibu maswali kutoka kwa wabunge wa Congress waliokuwa na ghadhabu. Wabunge hao waliishutumu kampuni ya Toyota ambayo walisema inachochewa na ulafi na kutojali maslahi ya wateja.
Toyota imelaumiwa kwa kulegea katika kutatua kasoro ya breki za magari yake.
No comments:
Post a Comment