ANGALIA LIVE NEWS

Monday, March 29, 2010

Stars na Maryland United


Maryland United

Stars United


Mechi inayosubiliwa kwa hamu kati ya Stars na Maryland United itakayochezwa Dc kweye viwanja vilivyopo 18031 central park circle,boyds,md 20841 tarehe 3 april jumamosi saa kumi jioni(4pm)



Hii mechi itakua ya kwanza msimu huu na ni kati ya mechi za maandalizi na safari ya Stars Sweden mwezi july baada ya mashindano ya kombe la dunia kwisha,tunaomba mashabiki wa Stars kufika kwa wingi kuishangilia Stars

Wachezaji wa Stars wanaotarajiwa kuja ni Michael Mngodo(OH),Aritaf(TX),Amoor,Rahim,Francis Makala,Salum Salum(MA),Ebra Nyangaly(NY),Tif(NJ),Simon Marko,Omari Guy,Denis Geofrey,Inno Geofrey,Shabani Mwampambe,Hamfrey Owen(NC),Hadji Helper,Juma,Edgar Kisoka(ATL),Lemy Mhando,Adam Zimbwe Tenga,Adam Jongo,Aristot Maruma,David Mboss,Evans Shangalai,Rasheed Beach Boy,Gilles,Charles(DC) na Godfrey Oswald(Minnesota),wachezaji Libe,Yahaya,Vicent na Elvis wao wataichezea Maryland United

Mechi nyingine ya Stars itafanyika Boston april 24 dhidi ya Zambia na Wazambia wamepania sana mechi hiyo na wanatuma muakilishi wao kuja Dc kuangalia mechi ya Stars na Maryland united.unaweza kuwatembelea Wazambia kwenye tozuti yao http://nezane.org/soccer-tournament.html ujionee mwenyewe jinsi gani walivyopania mechi hiyo.

Hii timu ya Zambia inaundwa na wachezaji wa Zambia wa Marekani nzima na kunabaadhi walishawahi kuchezea timu yao ya Taifa miaka ya hivi karibuni.Tunaomba washabiki wa Massachusetts wajitokeze kwa wingi baada ya mechi hiyo jioni wazambia watakua na pati yao ya ubwete

No comments: