ANGALIA LIVE NEWS
Friday, July 23, 2010
gari lako lisije likabuma
Akina mama lishe wa eneo la Feri, Posta wa zamani Jijini Dar es Salaam wakiwa wamebeba madumu ya mafuta aina ya dizeli baada ya kuyachota majini. Inasemekana kuwa kuna meli ilikuwa imetoboka na hivyo kumwaga mafuta baharini( Picha na Evance Ng’ingo)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment