ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, July 28, 2010

JE Unawajua Hawa Ni Nani?????


Wadau inabidi uweze kuwatambua wote wawili ili ujishindie na VIJIMAMBO

Je hawa ni madj akina nani na hii ni club gani Tanzania enzi hizo je hii club bado ipo au imeishakufa kazi kwenu vijana wa zamani

Je unawakumbuka hawa,haya vijana wa zamani kazi kwenu

2 comments:

Anonymous said...

DJ LUKE ENZI ZAKO ULIPOKUWA RUAWA IRINGA ENZI ZA TOTOZI KINA REHEMA KIPOZI .KWELI WATU WANABADILIKA DJ WAMEONDOKA

Anonymous said...

Dj Luke na Richie Dillon

Hii picha nyingine namuona Young Millionaire...kama sikosei.

M