Mh.Rais Aman Karume
Mh.Seif Sharif Hamad
Kwa mujibu wa habari kutoka Zanzibar hivi sasa matokeo ya kura ya maoni yameshotolewa ni kama ifuatavyo:
Asilimia 66.4% wamepiga kura ya NDIO
Asilimia 33.6% wamepiga kura ya HAPANA.
Kila la kheri Zanzibar Mpya!
Report:0830am:
Unguja majimbo yaliosema HAPANA ni MAKUNDUCHI, CHWAKA, MUYUNI, KWAHANI, DOLE, CHAANI, UZINI, DONGE kwa ujumla majimbo 8 tuu yamekataa na majimbo 42 yote ya Unguja na Pemba nzima yamesema NDIO.Matokeo rasmi kuanza kutolewa na Tume leo saa nne asubuhi.
Zanzibar yasema NDIO, HONGERA WAZALENDO


No comments:
Post a Comment