ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, August 1, 2010

Habari kamili:Kura ya maoni Zanzibar 1138am:Matokeo ya kura ya maoni (official results)

Mh.Rais Aman Karume
Mh.Seif Sharif Hamad

Kwa mujibu wa habari kutoka Zanzibar hivi sasa matokeo ya kura ya maoni yameshotolewa ni kama ifuatavyo:
Asilimia 66.4% wamepiga kura ya NDIO
Asilimia 33.6% wamepiga kura ya HAPANA.
Kila la kheri Zanzibar Mpya!
Report:

0830am:
Unguja majimbo yaliosema HAPANA ni MAKUNDUCHI, CHWAKA, MUYUNI, KWAHANI, DOLE, CHAANI, UZINI, DONGE kwa ujumla majimbo 8 tuu yamekataa na majimbo 42 yote ya Unguja na Pemba nzima yamesema NDIO.Matokeo rasmi kuanza kutolewa na Tume leo saa nne asubuhi.
Zanzibar yasema NDIO, HONGERA WAZALENDO

No comments: