ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, August 15, 2010

Mechi ya Stars na Jamhuri

Elvis Dotto kushoto akiwa na Denis Geofrey baada ya Mechi
Wachezaji wa Stars baada ya mechi


Kushoto Michael John mchezaji wa Ushirika Moshi na Timu ya Taifa,kulia ni Dj Issa wa Liberty Hotel Moshi Enzi hizo wakiwa na Didi Vava Mdau wa Moshi Enzi hizo wakiwa kwenye mechi ya Stars na Jamhuri ya Kenya,Atlanta,GA
Juu na chini ni wadau na wachezaji wa Atlanta waliojumuika kuishangilia Stars

No comments: